Marekani yaendelea kuwakandamiza wanafunzi wanaotetea Palestina

Jaji mmoja nchini Marekani amemuachilia kwa dhamana mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tufts ambaye ni mtetezi wa Palestina, Rumeysa Ozturk, kutoka kizuizi cha uhamiaji cha Louisiana, huku serikali ya Donald Trump ikiendelea kuwakandamiza wanafunzi wa vyuo vikuu wanaoandamana kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *