Jaji mmoja nchini Marekani amemuachilia kwa dhamana mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tufts ambaye ni mtetezi wa Palestina, Rumeysa Ozturk, kutoka kizuizi cha uhamiaji cha Louisiana, huku serikali ya Donald Trump ikiendelea kuwakandamiza wanafunzi wa vyuo vikuu wanaoandamana kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za Israel.
Related Posts
Waandamanaji Tel Aviv watishia kumuua Netanyahu
Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel ameendelea kuandamwa na mashinikizo baada yaa kufanyika maandamano mengine dhidi yake…
Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel ameendelea kuandamwa na mashinikizo baada yaa kufanyika maandamano mengine dhidi yake…
Utayarifu wa Iran wa kufanya jitihada za kutatua mzozo wa India na Pakistan
Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais…
Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Rais…
Iran yaishambulia Israel kwa balestiki: Je, makombora haya ni hatari kiasi gani?
Iran yaishambulia Israel kwa balestiki: Je, makombora haya ni hatari kiasi gani? Kuanzia Sajjil hadi Sahab, Iran ina aina mbalimbali…
Iran yaishambulia Israel kwa balestiki: Je, makombora haya ni hatari kiasi gani? Kuanzia Sajjil hadi Sahab, Iran ina aina mbalimbali…