India na Pakistan zaonyesha nia ya kupunguza mzozo kwa masharti

India na Pakistan leo Jumamosi zimeonyesha nia yao ya kumaliza mzozo wao wa kijeshi iwapo pande zote mbili zitaheshimu uamuzi huo. Hata hivyo, majeshi ya pande hizo mbilii yameendelea kushambuliana kwa silaha za aina mbaliimbali.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *