Kiongozi Muadhamu atoa wito kwa dunia nzima kupinga uhalifu wa Israel na Marekani huko Gaza

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameutaka Ulimwengu wa Kiislamu kutoruhusu suala la Palestina lisahaulike akisisitiza ulazima wa kukabiliana na mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *