Rais wa Burundi azindua kampeni ya uchaguzi wa 2025 wa wabunge na wilaya

Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi jana Ijumaa alizindua rasmi kampeni ya uchaguzi wa pamoja wa wabunge na wilaya, unaotarajiwa kufanyika Juni 5, akiwa Gitega, mji mkuu wa kisiasa wa nchi hiyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *