Baada ya India kufanya mashambulizi makubwa ya anga, jeshi la Pakistan limeamua kulipiza kisasi kwa kuanzisha mashambulizi ya anga, ya makombora na maroketi dhidi ya maeneo ya India. Operesheni hiyo imepewa jina la Al-Bun-yan al Marsoos yaani Jengo Lililoshikamana. Sambamba na kuanza operesheni hiyo, taarifa zinasema kuwa kumefanyika mashambulizi makubwa ya mtandao dhidi ya gridi ya umeme ya India.
Related Posts
Iran yarusha zaidi ya makombora 500 dhidi ya Israel – gazeti
Iran yarusha zaidi ya makombora 500 dhidi ya Israel – gazetiHapo awali jeshi la Israel lilisema kuwa Iran iliishambulia kwa…
Iran yarusha zaidi ya makombora 500 dhidi ya Israel – gazetiHapo awali jeshi la Israel lilisema kuwa Iran iliishambulia kwa…
Kenya: Suluhisho la kudumu kwa mzozo wa DRC linapaswa kuwa la ndani
Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang’ula, amesema kwamba suluhisho la kudumu kwa mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia…
Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang’ula, amesema kwamba suluhisho la kudumu kwa mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia…
Iraq: Tuna hamu ya kushirikiana na Iran kuimarisha utulivu wa kieneo
Rais wa Iraq, Abdul Latif Rashid ametangaza utayarifu wa nchi yake wa kufanya kazi na kushirikiana na Iran ili kuhakikisha…
Rais wa Iraq, Abdul Latif Rashid ametangaza utayarifu wa nchi yake wa kufanya kazi na kushirikiana na Iran ili kuhakikisha…