Ndege za kivita za Israel zashambulia ghala la chakula la UNRWA huko Jabalia + Video

Shirika la Habari la Palestina limetangaza kuwa, ndege za kivita za Israel zimeshambulia ghala la chakula la UNRWA katika kambi ya Jabalia ya kaskazini mwa Ghaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *