Mfumo wa THAAD wa Marekani ulioko Israel wafeli kuzuia makombora ya Yemen

Kombora lililovurumishwa kutoka Yemen limefika katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel huku mfumo wa ulinzi wa anga wa THAAD wa Marekani ukishindwa tena, na kulazimisha mamilioni ya Wazayuni kukimbilia katika mahandaki wakiwa na hofu na wahka.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *