Iran: Ripoti ya kituo cha nyuklia cha siri ni uzushi wa Netanyahu ili kuvuruga mazungumzo na Marekani

Iran imekanusha ripoti kuhusu kituo cha siri cha nyuklia, ikisema zimetolewa na kundi la kigaidi la MKO kwa agizo la waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwa nia ya kuvuruga mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Tehran na Washington.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *