Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema: “Kwa kudai kubadili jina la Ghuba ya Uajemi, Trump amewageuza Wairani wote wakiwemo wanamapinduzi, wasiokuwa wapinduzi, wapinzani na wasiokuwa wapinzani, kuwa maadui zake, jambo ambalo ni ishara ya upumbavu wake.”
Related Posts
Watu watatu wauawa katika hujuma ya Israel jijini Beirut licha ya mapatano ya kusitisha vita
Katika ukiukaji wa wazi wa makubaliano dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Lebanon, jeshi la utawala wa Israel…
Katika ukiukaji wa wazi wa makubaliano dhaifu ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Lebanon, jeshi la utawala wa Israel…
Ulimwengu wa Spoti, Apr 7
Hujambo mskilizaji mpenzi mwanaspoti. Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita…
Hujambo mskilizaji mpenzi mwanaspoti. Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita…
Hamas yapongeza wafanyakazi Microsoft kwa kufichua ushiriki wa kampuni hiyo katika mauaji ya kimbari Gaza
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imeelezea kufurahishwa na misimamo ya baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Microsoft…
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imeelezea kufurahishwa na misimamo ya baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Microsoft…