China yatangaza kuwa tayari kuzipatanisha India na Pakistan

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameelezea wasiwasi wake kuhusu mvutano uliozuka kati ya India na Pakistan na kutangaza kuwa, Beijing iko tayari kuchukua jukumu amilifu la upatanishi ili kupunguza mzozo kati ya nchi hizo mbili jirani za kusini mwa Asia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *