Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China ameelezea wasiwasi wake kuhusu mvutano uliozuka kati ya India na Pakistan na kutangaza kuwa, Beijing iko tayari kuchukua jukumu amilifu la upatanishi ili kupunguza mzozo kati ya nchi hizo mbili jirani za kusini mwa Asia.
Related Posts
Araqchi atahadharisha kuhusu ghadhabu ya Wairani ikiwa Trump atabadlisha jina la Ghuba ya Uajemi
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametahadharisha kuhusu ghadhabu ya Wairani wote baada ya tetesi kwamba Rais Donald Trump…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametahadharisha kuhusu ghadhabu ya Wairani wote baada ya tetesi kwamba Rais Donald Trump…
Utawala wa Kizayuni waendelea kupinga utoaji wa misaada kwa Wapalestina
Vitendo vya kikatili vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wanaoishi Gaza vinaendelea, na bado utawala huo unazuia kufikishwa kwa…
Vitendo vya kikatili vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wanaoishi Gaza vinaendelea, na bado utawala huo unazuia kufikishwa kwa…
Amnesty International: Siku 100 za kwanza za urais wa Trump zimekuwa janga kwa haki za binadamu
Katibu Mkuu wa Amnesty International ametangaza kuwa siku 100 za kwanza za urais wa Donald Trump zimekuwa janga kwa haki…
Katibu Mkuu wa Amnesty International ametangaza kuwa siku 100 za kwanza za urais wa Donald Trump zimekuwa janga kwa haki…