Israel yaendelea kupata pigo, mashirika makubwa ya ndege yagoma kwenda Tel Aviv

Mashambulizi ya Jeshi la Yemen dhidi ya uwanja wa ndege wa Ben Gurion huko Tel Aviv yanaendelea kuutia hasara kubwa utawala wa Kizayuni ikiwa ni pamoja na mashirika mawili maarufu ya British Airways na Air Europa kuendelea kugoma kupeleka ndege zao kwenye uwanja huo wa Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *