Jiji la Port Sudan lashambuliwa kwa ndege isiyo na rubani kwa siku ya tano mfululizo

Jiji la Port Sudan, mashariki mwa Sudan, Alhamisi asubuhi limekumbwa na shambulio jipya la ndege isiyo na rubani (drone) kwa siku ya tano mfululizo, huku mapigano makali yakiendelea kati ya jeshi na waasi wa RSF.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *