Maonyesho ya 36 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran yafunguliwa

Maonyesho ya 36 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran yamefunguliwa leo asubuhi katika sherehe iliyohudhuriwa na viongozi wa ngazi za juu wakiwemo Waziri wa Utamaduni na Muongozo wa Kiislamu, Abbas Salehi, na Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *