Tamasha la tatu la vyombo vya habari la “Sobh”, (Asubuhi) kwa ajili ya kuwaenzi watu mashuhuri wanaopinga ubeberu, kuanzia wabunge wa zamani wa mabunge ya Ulaya na Uingereza hadi mwandishi wa habari wa Palestina kutoka Gaza, linaendelea kupaza sauti ya mapambano na Muqawama dhidi ya ukandamizaji wa kimataifa.
Related Posts
Onyo la Baraza la Ulaya kuhusu matokeo ya vikwazo vya Marekani dhidi ya ICC
Baraza la Ulaya limeonya kuhusu matokeo ya hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye…
Baraza la Ulaya limeonya kuhusu matokeo ya hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye…
Mashirika 113 ya haki za binadamu yatoa wito kwa Baraza la Usalama kuiwekea Israel vikwazo
Mitandao na mashirika 113 ya kutetea haki za binadamu duniani kote yamelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuweka…
Mitandao na mashirika 113 ya kutetea haki za binadamu duniani kote yamelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuweka…
UN: Mashambulizi ya Israel dhidi ya magari ya wagonjwa ni jinai ya kivita
Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu amesema kuwa hatua ya Israel ya kufyatulia risasi magari ya…
Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu amesema kuwa hatua ya Israel ya kufyatulia risasi magari ya…