Vita na Trump: Sasa Ulaya yatafuta washirika wa Asia na Pasifiki

Hatua ya rais wa Marekani ya kuvuruga mfumo wa uhusiano wa kimataifa, imeulazimisha Umoja wa Ulaya kuamua kuimarisha uhusiano wake na nchi za Asia na Pasiriki kupitia jumuiya kama Trans-Pacific.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *