Museveni: Kushiriki kwetu kumesaidia kushindwa waasi Sudan Kusini na DRC

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa operesheni za pamoja za kijeshi zilizoanzishwa na Kampala katika nchi jirani za Sudan Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) zimewashinda waasi katika nchi zote mbili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *