Mapigano yapamba moto Kivu Kusini huko DRC; mazungumzo ya amani yakwama

Mapigano yaliripotiwa kutokea jana Jumatatu katika jimbo la Kivu Kusini la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, licha ya kwamba mazungumzo baina ya serikali na waasi wa M23 yanaendelea nchini Qatar.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *