Iran itajibu haraka uchokozi wowote wa kijeshi kutoka Marekani, Israel

Iran imelaani vikali vitisho vya karibuni kutoka Marekani na Israel kuhusiana na shambulio la kulipiza kisasi la Yemen dhidi ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu (Israel), na imeahidi kulinda mamlaka na uhuru wake dhidi ya tishio lolote au matumizi ya nguvu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *