Iran yawaonya maadui: Jeshi la Anga liko mstari wa mbele kujibu kitisho chochote haraka

Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Brigedia Jenerali Hamid Vahedi amesema, kikosi hicho kiko mstari wa mbele kukabiliana haraka sana na tishio lolote dhidi ya nchi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *