Jeshi la Yemen limeulenga Uwanja wa Ndege wa Ben Gurion karibu na Tel Aviv baada ya majaribio kadhaa ya jeshi la Israel kulizuia kushindikana. Kombora hilo lilipenya na kukwepa ngao nne za ulinzi wa anga na kutua katikati ya Uwanja wa Ben Gurion Jumapili, huku mifumo ya Arrow na THAAD ikishindwa kulizuia kombora hilo la hali ya juu.
Related Posts
Wabunge wa Marekani, makuhani nao wapinga mpango wa Trump wa kutwaa Gaza
Mamia ya wabunge na makuhani wa Kiyahudi wa Marekani wametangaza upinzani wao dhidi ya mpango wa Rais Donald Trump wa…
Mamia ya wabunge na makuhani wa Kiyahudi wa Marekani wametangaza upinzani wao dhidi ya mpango wa Rais Donald Trump wa…
Kremlin: Umoja wa Ulaya unataka vita, sio mazungumzo
Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin), Dmitry Peskov amesema Umoja wa Ulaya umekuwa ukizuia juhudi za kidiplomasia za Washington na…
Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin), Dmitry Peskov amesema Umoja wa Ulaya umekuwa ukizuia juhudi za kidiplomasia za Washington na…
Jeshi la Yemen laendelea kuzitwanga kwa makombora meli za kivita za Marekani
Jeshi la Yemen limetangaza kuhusika na mfululizo wa mashambulizi yaliyofanyika kwa ustadi wa hali ya juu na kuzitwanga meli za…
Jeshi la Yemen limetangaza kuhusika na mfululizo wa mashambulizi yaliyofanyika kwa ustadi wa hali ya juu na kuzitwanga meli za…