Iran yalaani shambulio dhidi ya Port Sudan lililoua mamia ya watu

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulizi la ndege isiyo na rubani ambalo lililenga uwanja wa ndege pamoja na maeneo na vituo vya kiraia mashariki mwa Sudan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *