Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran apanga kuzuru Pakistan

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, anapanga kuzuru Pakistan na India wiki hii kama sehemu ya mashauriano yanayoendelea ya Tehran na nchi za kikanda huku kukiwa na mvutano baina ya nchi hizo mbili jirani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *