Waasi wa RSF wameua raia 300 huko Al-Nahud

Tume ya Kitaifa ya Haki za Binadamu ya Sudan imetangaza kwamba raia wasiopungua 300, wakiwemo watoto 21 na wanawake 15, wameuawa katika shambulio lililofanywa na waasi wa RSF katika mji wa Al-Nahud, jimbo la Kordofan Magharibi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *