Msuguano wa India na Pakistan: Bidhaa za Pakistan zapigwa marufuku kuingia India

India imetangaza kuzipiga marufuku bidhaa zinazoingizwa nchini humo kutoka au kupitia Pakistan. Mamlaka ya biashara za kigeni ya India imetangaza kuwa marufuku hiyo itaanza kutekelezwa mara moja hali inayoashiria kushadidi mvutano baina ya mataifa hayo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *