India imetangaza kuzipiga marufuku bidhaa zinazoingizwa nchini humo kutoka au kupitia Pakistan. Mamlaka ya biashara za kigeni ya India imetangaza kuwa marufuku hiyo itaanza kutekelezwa mara moja hali inayoashiria kushadidi mvutano baina ya mataifa hayo.
Related Posts
Araqchi: Barua ya Trump imepokewa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa…
Maduro analaumu Marekani, Musk kwa kuongoza majaribio ya mapinduzi nchini Venezuela
Maduro analaumu Marekani, Musk kwa kuongoza majaribio ya mapinduzi nchini VenezuelaRais wa Jamhuri ya Bolivia alisema kuwa “wanajaribu kuelekeza muendelezo…
Maduro analaumu Marekani, Musk kwa kuongoza majaribio ya mapinduzi nchini VenezuelaRais wa Jamhuri ya Bolivia alisema kuwa “wanajaribu kuelekeza muendelezo…
Tehran yalaani tishio la Trump la kutumia mabavu dhidi ya Iran
Iran imelaani vikali tishio la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kutumia nguvu dhidi ya nchi hiyo na kusema linatia…
Iran imelaani vikali tishio la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kutumia nguvu dhidi ya nchi hiyo na kusema linatia…