Sisitizo la Iran la kufikiwa makubaliano ya nyuklia ya haki na yenye uwiano

Kufuatia kuakhirishwa duru ya nne ya mazungumzo kati ya Iran na Marekani, Sayyid Abbas Araqchi Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa, Tehran imeazimia kufikia makubaliano ya haki na yenye mlingano kuliko wakati mwingine wowote.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *