Watu 27 wauwawa baada RSF kuteka mji muhimu Sudan

Watu wasiopungua 27 wameuawa baada ya kundi la wapiganaji wa vikosi vya RSF, linaloongozwa na Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo kuripotiwa kuwa limefanikiwa kuuteka mji wa kimkakati wa En Nahud nchini Sudan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *