UN inahitaji msaada wa dharura wa kuwasaidia wahanga 45,000 wa mafuriko Somalia

Shirika moja la Umoja wa Mataifa la misaada ya kibinadamu limesema kuwa linahitaji msaada wa dharura wa haraka wa kusaidia watu 45,000 walioathiriwa na mafuriko kote nchini Somalia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *