Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo ya hapa mjini Tehran ameashria mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja ya nyuklia kati ya Iran na Marekani yaliyoanza wiki kadhaa zilizopita na kusema: Timu ya mazungumzo ya Iran ina uzoefu mkubwa; na katika mazungumzo hayo inatetea kwa nguvu na irada kamili haki ya Iran ya kumiliki teknolojia ya amani ya nyuklia ambayo ni mtaji wa taifa.
Related Posts

Wanajeshi 115 wa Urusi wachiliwa huru na Ukraine kupitia mpango wa kubadilishana wafungwa wa vita
Wanajeshi 115 walirudi kwa Kirusi kwa kubadilishana wafungwa wa vita Umoja wa Falme za Kiarabu ulitoa juhudi za kati za…
Wanajeshi 115 walirudi kwa Kirusi kwa kubadilishana wafungwa wa vita Umoja wa Falme za Kiarabu ulitoa juhudi za kati za…
‘Wanajeshi wa Ukraine wameondoka’ – KGB
‘Wanajeshi wa Ukraine wameondoka’ – KGBMkuu wa huduma ya usalama ya Belarusi anasema Kiev imeondoa vikosi iliyokuwa imekusanya kwenye mpaka…
‘Wanajeshi wa Ukraine wameondoka’ – KGBMkuu wa huduma ya usalama ya Belarusi anasema Kiev imeondoa vikosi iliyokuwa imekusanya kwenye mpaka…
Wanawake na watoto, wahanga wakuu wa unyanyasaji wa kingono DRC
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema katika ripoti yake ya karibuni kabisa iliyotolewa jana Ijumaa kwamba,…
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema katika ripoti yake ya karibuni kabisa iliyotolewa jana Ijumaa kwamba,…