Adhanom: Ufadhili wa afya duniani unakabiliwa na mgogoro mbaya zaidi kuwahi kutokea

Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameonya kuwa afya ya kimataifa iko hatarini huku msaada wa wafadhili ukikatika na WHO ikikabiliana na nakisi kubwa ya bajeti.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *