Afisa wa Hospitali ya Nasser: Maisha ya maelfu ya watoto katika Ukanda wa Gaza yako hatarini

Mkuu wa kitengo cha watoto katika Hospitali ya Nasser iliyoko kusini mwa Gaza ametahadharisha kuhusu kukithiri kwa utapiamlo miongoni mwa watoto katika ukanda huo na hatari inayotishia maisha ya maelfu ya watoto kutokana na siasa za ufashisti za utawala wa Kizayuni wa Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *