Moto mkubwa unaendelea kuteketeza maeneo mengi ya utawala ghasibu wa Israel huku opereshei ya kuhamisha wakazi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ikiendelea. Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeiripoti kuwa moto huo umeenea katika maeneo mapya ya Quds inayokaliwa kwa mabavu (Jerusalem ) na kusambaa hadi katika makumbusho ya zana za kivita za jeshi la Israel.
Related Posts
Mbunge: Israel kamwe haitopata ushindi; Ghaza itakuwa huru
Mbunge mmoja wa zamani wa Bunge la Ulaya, Bi Clare Daly ametoa ujumbe mzito wa kushikamana na Palestina wakati aliposhiriki…
Mbunge mmoja wa zamani wa Bunge la Ulaya, Bi Clare Daly ametoa ujumbe mzito wa kushikamana na Palestina wakati aliposhiriki…
Adhanom: Ufadhili wa afya duniani unakabiliwa na mgogoro mbaya zaidi kuwahi kutokea
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameonya kuwa afya ya kimataifa iko hatarini huku msaada wa wafadhili ukikatika na…
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameonya kuwa afya ya kimataifa iko hatarini huku msaada wa wafadhili ukikatika na…
Shambulio la Ukraine katika eneo la Kursk laua 12, na kujeruhi 121
Shambulio la Ukraine katika eneo la Kursk laua 12, na kujeruhi 121Shambulio kubwa katika Mkoa wa Kursk na jeshi la…
Shambulio la Ukraine katika eneo la Kursk laua 12, na kujeruhi 121Shambulio kubwa katika Mkoa wa Kursk na jeshi la…