Moto wafika kwenye moyo wa utawala wa Kizayuni; kambi ya jeshi na makumbusho vyateketea

Moto mkubwa unaendelea kuteketeza maeneo mengi ya utawala ghasibu wa Israel huku opereshei ya kuhamisha wakazi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni ikiendelea. Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeiripoti kuwa moto huo umeenea katika maeneo mapya ya Quds inayokaliwa kwa mabavu (Jerusalem ) na kusambaa hadi katika makumbusho ya zana za kivita za jeshi la Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *