Tshisekedi atetea mkataba wa amani kati ya DRC na Rwanda

Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ametetea mkataba uliotiwa saina baina ya nchi yake na Rwanda kwamba ni mwanzo mzuri wa kuleta amani mashariki mwa nchi yake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *