Araqchi asisitiza kuimarishwa ushirikiano kati ya Iran na Algeria katika majukwaa ya kimataifa

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi amesisitiza umuhimu wa kuimarishwa ushirikiano kati ya Iran na Algeria katika vikao vya kimataifa na katika ngazi ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu ili kuunga mkono haki za wananchi wa Palestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *