The Guardian: Magereza ya Ugiriki yamejaa wakimbizi wa Sudan

Gazeti la The Guardian limeripoti kuwa mamlaka za Ugiriki zinawashikilia mamia ya wahamiaji hususan kutoka Afrika chini ya sheria kali inayopiga marufuku magendo ya binadamu ambayo ilianza kutekelezwa mwaka 2014 na kuwaadhibu wanaokiuka sheria hiyo hadi kifungo cha miaka 25 jela.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *