Washukiwa wa al-Shabaab waua Wakenya watano Mandera

Wafanyakazi watano wa machimbo wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa wakati gari lao liliposhambuliwa na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kundi la kigadi la al-Shabaab kaskazini mashariki mwa Kenya.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *