Jeshi la Sudan: Raia wasiopungua 41 wameuawa katika mashambulizi ya RSF huko al Fasher

Jeshi la Sudan leo Jumanne limetangza kuwa raia wengine wasiopungua 41 wameuawa na makumi ya wenegine kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya wanamgambo wa RSF katika mji wa al Fasher, makao makuu ya jimbo la Darfur ya Kaskazini, magharibi mwa Sudan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *