Jeshi la Sudan leo Jumanne limetangza kuwa raia wengine wasiopungua 41 wameuawa na makumi ya wenegine kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya wanamgambo wa RSF katika mji wa al Fasher, makao makuu ya jimbo la Darfur ya Kaskazini, magharibi mwa Sudan.
Related Posts
HAMAS: Hali za afya za wafungwa wa Kipalestina zinaakisi ‘unyama na ufashisti’ wa Israel
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, hali za kiafya za wafungwa wa Kipalestina walioachiliwa kutoka kwenye magereza…
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, hali za kiafya za wafungwa wa Kipalestina walioachiliwa kutoka kwenye magereza…
Kremlin: Umoja wa Ulaya unataka vita, sio mazungumzo
Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin), Dmitry Peskov amesema Umoja wa Ulaya umekuwa ukizuia juhudi za kidiplomasia za Washington na…
Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin), Dmitry Peskov amesema Umoja wa Ulaya umekuwa ukizuia juhudi za kidiplomasia za Washington na…
Wasiwasi wa afisa wa ngazi ya juu wa Marekani kuhusu kufichuliwa taarifa za siri za nchi hiyo
Mkurugenzi wa Shirika la Usalama wa Taifa la Marekani, Tulsi Gabbard, amesema wale wote waliofichua taarifa za siri watakabiliwa na…
Mkurugenzi wa Shirika la Usalama wa Taifa la Marekani, Tulsi Gabbard, amesema wale wote waliofichua taarifa za siri watakabiliwa na…