Kufuatia kifo cha Papa Francis mwenye umri wa miaka 88 na mazishi yake Jumamosi, makadinali kutoka kote ulimwenguni hivi karibuni watakusanyika Vatican kumchagua mrithi wake katika mchakato wa siri, wa karne nyingi unaojulikana kama kongamano. Lakini makardinali hawa wanatoka wapi na je, mabadiliko ya kijiografia ya Kanisa yataathiri kura?
BBC News Swahili