ICJ yaanza kusikiliza hatua za kibinadamu zinazopaswa kutekelezwa na Israel

Mwanadiplomasia wa Palestina jana Jumatatu aliiambia Mahakama ya Kilele ya Umoja wa Mataifa kwamba Israel inawaua, inawafurusha raia wa Kipalestina na kuwashambulia wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu huko Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *