Jeshi la Marekani lakiri kuanguka kwa ndege yake ya kivita baharini huku Wahouthi wakidai kuishambulia

Jeshi la Marekani limeripoti siku ya Jumatatu kwamba mwanamaji wa Jeshi la Marekani alipata majeraha madogo wakati ndege ya kivita ya F-18 ilipoanguka kutoka kwa meli ya kubeba ndege ya Marekani katika Bahari Nyekundu, saa chache baada ya Wahouthi kudai “kuishambulia meli hiyo” ya USS Truman.

​  BBC News Swahili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *