MAKAMU WA RAIS AKIZUNGUMZA NA BALOZI NCHIMBI MARA BAADA YA KUWASILI NCHINI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Balozi. Dkt. Emmanuel Nchimbi mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, akitokea Vatican katika Mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani hayati Baba Mtakatifu Francisko. Tarehe 28 Aprili 2025.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Balozi. Dkt. Emmanuel Nchimbi mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam, akitokea Vatican katika Mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani hayati Baba Mtakatifu Francisko. Tarehe 28 Aprili 2025.

The post MAKAMU WA RAIS AKIZUNGUMZA NA BALOZI NCHIMBI MARA BAADA YA KUWASILI NCHINI appeared first on Mzalendo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *