Putin aishukuru Korea Kaskazini kwa msaada wake wa kijeshi

Rais wa Russia, Vladimir Putin ametoa shukrani zake za dhati kwa wanajeshi wa Korea Kaskazini na kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong-un, kwa msaada na uungaji mkono wao katika operesheni ya kuzima uvamizi wa Ukraine.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *