Wasudan 31 wauawa katika shambulio la RSF mjini Omdurman

Raia wasiopungua 31 wa Sudan wakiwemo watoto wameuawa na wapiganaji wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa Omdurman, kaskazini mwa mji mkuu wa Sudan Khartoum.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *