Kesi ya kinara wa upinzani Tanzania yaendelea kusikilizwa leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam Tanzania, hii leo inaendelea kusikiliza kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube inayomkabili Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo Chadema, Tundu Lissu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *