Ripoti: Mfumo wa elimu wa Uingereza unahitaji kukombolewa kutoka kwenye ukoloni

Mauaji ya kimbari yanayofanywa dhidi ya Wapalestina katika kipindi cha miezi 18 sasa yasingewezekana bila ya kuwadhalilisha watu wa Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kwa kuwatambua kuwa sio binadamu katika vyombo vya habari na miongoni mwa wanasiasa hasa wa nchi za Magharibi wanaoungwa mkono na Harakati ya Kimataifa ya Kizayuni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *