Usafirishaji nje bidhaa waanza tena kwenye Bandari ya Shahid Rajaee baada ya mlipuko wa jana

Idara ya Forodha ya Irani imetangaza kuwa: Taratibu za forodha za usafirishaji na uagizaji wa bidhaa kutoka nje ya nchi zimeanza tena katika Forodha ya Bandari ya Shahid Rajaee huko Bandar Abbas.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *