Uganda yatangaza kumalizika mripuko wa karibuni wa ugonjwa wa Ebola

Uganda imetangaza kumalizika mripuko uliozuka karibuni zaidi wa ugonjwa wa Ebola miezi mitatu baada ya mamlaka husika kuthibitisha kesi za maambukizo ya ugonjwa huo katika mji mkuu Kampala.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *