UN yataka kukomeshwa mapigano mara moja Sudan Kusini

Timu ya Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini UNMISS imetoa mwito wa kukomeshwa mara moja mapigano baada ya kushadidi vita kati ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Sudan Kusini (SSPDF) na wanajeshi wa upinzani wanaomuunga mkono Makamu wa Kwanza wa Rais, Riek Machar.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *