RSF yaendelea kuua raia Sudan, UN yasema milioni 13 wamelazimika kukimbia makazi yao

Mtandao wa Madaktari wa Sudan umesema watu 11 wameuawa na 22 kujeruhiwa wakati ndege isiyo na rubani ya Rapid Support Forces (RSF) iliposhambulia kambi ya wakimbizi huko Atbara, kaskazini mwa Sudan.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *