Israel katika ghadhabu baada ya ICC kukataa kusitisha hati za kukamatwa Netanyahu na Gallant

Uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kukataa ombi la Israel la kusitisha utekelezaji wa hati za kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala huo, Benjamin Netanyahu na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Yoav Gallant umeikasirisha mno serikali ya Tel Aviv.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *