Tarehe 29 Disemba 2023 imerekodiwa katika kumbukumbu za historia ya baada ya mwaka 1994 ya Afrika Kusini kama siku muhimu sana baada ya Pretoria kufungua kesi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mahakama ya ICJ, ikiwasilisha hoja za kisheria za kina na zenye mashiko kwamba ukatili wa Israel katika Ukanda wa Ghaza unakanyaga Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia Mauaji ya Kimbari.
Related Posts
Pezeshkian: Bora tufe kwa heshima, lakini hatutaishi kwa udhalili
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amekosoa vikali mwenendo wa kimaksi wa utawala wa Donald Trump dhidi ya Iran na kueleza…
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amekosoa vikali mwenendo wa kimaksi wa utawala wa Donald Trump dhidi ya Iran na kueleza…
Kesi 82 za madai ya watu kutoweka nchini Kenya zimeripotiwa tangu Juni 2024
Nchini Kenya watu wanaituhumu polisi ya nchi hiyo kwa kufanya vitendo vya utekaji nyara lakini bado haijathibitishwa ni nani aliyehusika…
Nchini Kenya watu wanaituhumu polisi ya nchi hiyo kwa kufanya vitendo vya utekaji nyara lakini bado haijathibitishwa ni nani aliyehusika…
Seneta wa Marekani anayepinga Iran ahukumiwa kifungo cha miaka 11 jela
Seneta wa Marekani ambaye alikuwa na misimamo mikali dhidi ya Iran amehukumiwa kifungo kwa kupatikana na hatia ya ufisadi na…
Seneta wa Marekani ambaye alikuwa na misimamo mikali dhidi ya Iran amehukumiwa kifungo kwa kupatikana na hatia ya ufisadi na…